"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (6) - Mungu Humtumiaje Shetani Kufanya Huduma

Mungu anasema, "Katika Mpango Wangu, Shetani amewahi ondoka katika kisigino cha kila hatua, na, kama foili ya hekima Yangu amejaribu siku zote kutafuta njia na namna ya kuvuruga mpango Wangu wa awali. Lakini Ningeweza kukabiliwa na miradi yake ya udanganyifu? Vyote mbinguni na duniani vinanitumikia—njama za udanganyifu za shetani zingeweza kuwa tofauti? Huku ndiko hasa kukutana kwa hekima Yangu, ndiyo hasa yaliyo ya ajabu kuhusu matendo Yangu, na ni kanuni ambayo mpango Wangu mzima wa usimamizi mzima unafanywa" (Neno Laonekana katika Mwili). Kazi ya Mungu ya siku za mwisho inakitumiaje Chama cha Kikomunisti cha China na nguvu zinazompinga Kristo katika dunia ya kidini kufanya huduma ya kuwafanya watu kukamilika kuwa washindi? Kwa nini inasemwa kwamba hekima ya Mungu inatumika kulingana na njama za ujanja za Shetani? Matokeo ya mwisho ya Chama cha Kikomunisti cha China na nguvu za upinga Kristo katika dunia ya kidini ambazo bila kukoma zimeuchukia ukweli, na kumkataa Mungu kwa fujo yatakuwa yapi? Tunakualika utazame video hii fupi.

45361401_1172542769570723_6586573558074310656_n.jpg

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.
https://reurl.cc/8Weab

 

 

Christians From The Church of Almighty God Join Amnesty International in Appealing for Human Rights  https://reurl.cc/nEpe1

appealing-for-human-rights.png

On November 19, 2017, the French Jaurès Team of Amnesty International, a long-time human rights watchdog organization in various countries, held a running activity called Run for Freedom (Courir pour la Liberté) at the Buttes-Chaumont Park (Parc des Buttes Chaumont) in Paris, aiming to call on the Chinese and Turkish authorities to immediately cease persecution of its Turkey chairman, Taner Kılıç, Chinese women's rights activist Su Changlan, and nine other Turkish human rights activists. This is yet another call and condemnation by the international community on the dramatic deterioration of the human rights conditions in China and Turkey. The persecuted Christians of The Church of Almighty God also participated in the running activity, who expressed that they were participating in the event to support human rights and appeal for the abusive human rights situation in China. They introduced that since God appeared to work in 1991, The Church of Almighty God has been suppressed and persecuted by the CCP government. Statistics show that just in the short span of two years between 2011 and 2013, as many as 380,000 Christians of The Church of Almighty God had been unlawfully arrested, imprisoned and convicted by the CCP government, of which 43,000 were subject to various means of torture in secret courts that resulted in the death of 13 people. To date, well-documented cases indicate that 44 Christians of The Church of Almighty God had been persecuted to death by the Chinese government. As a result of the escalating repression, they were forced to flee to overseas countries for asylum. Their experiences have also drawn the attention of an increasing number of international human rights organizations and individuals.

https://reurl.cc/nEpe1

arrow
arrow
    全站熱搜
    創作者介紹
    創作者 人間過客 的頭像
    人間過客

    a118390的部落格

    人間過客 發表在 痞客邦 留言(0) 人氣()


    留言列表 留言列表

    發表留言
    Close

    您尚未登入,將以訪客身份留言。亦可以上方服務帳號登入留言

    請輸入暱稱 ( 最多顯示 6 個中文字元 )

    請輸入標題 ( 最多顯示 9 個中文字元 )

    請輸入內容 ( 最多 140 個中文字元 )

    reload

    請輸入左方認證碼:

    看不懂,換張圖

    請輸入驗證碼