Matamshi ya Mungu | "Wale wanaomtii Mungu kwa Moyo wa Kweli Hakika Watakubaliwa na Mungu"

Mwenyezi Mungu anasema, "Kazi ya Roho Mtakatifu inabadilika kutoka siku hadi siku, ikipanda juu kwa kila hatua; ufunuo wa kesho unakuwa hata juu kuliko wa leo, hatua kwa hatua ukikwea hata juu zaidi. Hii ndiyo kazi anayotumia Mungu kumkamilisha mwanadamu. Iwapo mwanadamu hawezi kwenda sambamba, basi anaweza kuachwa wakati wowote. Kama mwanadamu hana moyo wa kutii, basi hawezi kufuata hadi mwisho. Enzi ya kale imepita; sasa ni enzi mpya. Na katika enzi mpya, kazi mpya lazima ifanywe. Hasa katika enzi ya mwisho ambapo mwanadamu atakamilishwa, Mungu atafanya kazi mpya hata haraka zaidi. Hivyo, bila utii kwa moyo wake, mwanadamu ataona vigumu kufuata nyayo za Mungu. Mungu hafuati kanuni, wala hachukulii hatua yoyote ya kazi Yake kama isiyobadilika. Badala yake, kazi inayofanywa na Mungu daima ni mpya zaidi na daima ni juu zaidi. Kazi Yake inazidi kuwa ya vitendo kwa kila hatua, sambamba zaidi na matendo halisi ya mwanadamu. Baada tu ya mwanadamu kuwa na uzoefu wa aina hii ya kazi ndipo anaweza kufikia mabadiliko ya mwisho ya tabia yake."

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Gottes Aussprache | "diejenigen, die Gott für ein wahres Herz rufen, werden sicherlich von Gott angenommen werden"

Gott sagt: " die Arbeit des Heiligen Geistes ändert sich von Tag zu Tag, es wird bis zu jedem Schritt vergehen; die Offenbarung von morgen wird man noch höher als heute, Schritt für Schritt, wenn man noch höher ist. Das ist die Arbeit, die Gott benutzt, um das menschliche Wesen zu vollenden. Wenn ein Mensch nicht gehen kann, dann kann er jederzeit weg sein. Wenn ein Mensch kein Herz hat, zu gehorchen, dann kann er nicht bis zum Ende folgen. Die alte Ära ist vergangen; jetzt ist es eine neue Ära. Und in der neuen Ära muss ein neuer Job gemacht werden. Vor allem in der letzten Ära, in der ein Mensch fertig sein wird, wird Gott einen neuen Job noch schneller machen. Also, ohne Gehorsam an sein Herz, wird der Mensch hart sehen, um den Fußstapfen Gottes zu folgen. Gott folgt nicht den Regeln, noch nimmt er einen Schritt seiner Arbeit als Veränderung an. Stattdessen ist die Arbeit, die Gott gemacht hat, immer neu und ist immer höher. Seine Arbeit ist mehr als Handlungen von Handlungen für jeden Schritt, die schönsten und die wirklichen menschlichen Taten. Nachdem ein Mensch eine Erfahrung mit dieser Art von Arbeit hat, ist es, wo er die letzte Veränderung seines Charakters erreichen kann."

Besondere Aussage: Diese Video-Produktion wurde von der Kirche Gottes als non-Profit-Projekt gemacht. Dieses Video wird nicht an jemand anderen im Interesse des Nutzens weitergegeben, und es ist unsere Hoffnung, dass jeder teilen wird, um geteilt und öffentlich geteilt zu werden. Wenn du es teilst, hör bitte auf ihre Quelle. Ohne die Zustimmung der Kirche Gottes gibt es keine Organisation, eine soziale Gruppe oder eine persönliche Person, die den Inhalt dieses Videos ändern oder schikanieren kann.
https://reurl.cc/NXGNm 

......................................................................................................................................................................................................PNG

arrow
arrow
    全站熱搜
    創作者介紹
    創作者 人間過客 的頭像
    人間過客

    a118390的部落格

    人間過客 發表在 痞客邦 留言(0) 人氣()