"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (1) - Umeme wa Mashariki Laitikisa Dunia ya Kidini
Umeme wa Mashariki—kuonekana na kazi ya Mungu katika siku za mwisho limetikisa makundi na madhehebu yote, na kila aina ya wanadamu wamefichuliwa. Kondoo wengi wazuri katika kanisa wangependelea kuteseka kukamatwa kusikodhibitiwa na kuteswa na Chama cha Kikomunisti cha China ili tu kutafuta na kuchunguza Umeme wa Mashariki. Watu wengine, hata hivyo, wanaamini maneno ya wachungaji na wazee wa kanisa na wanasisitiza kutochunguza Umeme wa Mashariki, huku wengine, licha ya kujua kikamilifu kwamba Umeme wa Mashariki linashuhudia ukweli, hawathubutu kutafuta wala kulichunguza kwa hofu ya kuteswa na Chama cha Kikomunisti cha China. Kwa nini kondoo wazuri kanisani wanaweza kuchunguza Umeme wa Mashariki? Je, wale watu ambao hawawezi kutafuta na kuchunguza kazi ya Mungu katika siku za mwisho wanaweza kuingia katika ufalme wa mbinguni hata hivyo? Video hii fupi inakuletea msukumo.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.
https://reurl.cc/oxapq
Rosita Šorytė: Asylum Should be Granted to Christian Refugees Based on Objective Information https://reurl.cc/430OX
Since the Chinese Communist Party (CCP) took power, it has never ceased in persecuting religious beliefs. The CCP has openly designated Christianity and Catholicism as cults, and the Bible as a cult book. Countless copies of it have been confiscated and burned. Since 1995, the CCP has included many house churches, including The Church of Almighty God (CAG), in cult lists and began its open repression and persecution. After Xi Jinping took office, the CCP has intensified its crackdown on Christianity, in particular The Church of Almighty God. It even deploys armed police to carry out maniacal repression and arrests, and also uses all kinds of media to manipulate public opinion and discredit The Church of Almighty God. CAG Christians had to flee overseas to escape the persecution of the CCP and applied for asylum in democracies. However, governments of countries such as South Korea, France, and Italy do not acknowledge the fact that these Christians are persecuted and refuse to grant them asylum. What are the reasons behind it? In the episode, we have invited Ms. Rosita Šorytė as our guest, who is a former Lithuanian diplomat and currently the president of International Observatory of Religious Liberty of Refugees (ORLIR). She will analyze and talk about the reasons why these democratic countries refuse to grant CAG Christians refugee status, such as the fake news manufactured by the CCP, the refugee crisis in Europe, and economic pressure exerted by China. Please stay tuned! https://reurl.cc/430OX
留言列表